Tuesday, January 19, 2016


"Kwani Lilian Kwayu unashida gani na mie unataka nitoa roho yangu,mbona unapenda kunifatilia hivyo,nilinyamaza kimya bado unaniongelea vibaya,mbona hatufanani Kwa chochote,
c Kwa uzuri Wala kimaisha,nini unahitaji kwangu,niambie basi,kuliko kunipakazia uongo,kifupi tu wadada wanaonifahamu wamefunga safari mpk kwangu maana uliyoyasema hayafanani na wanavyonijua,sasa basi naomba twende sawa,maana huku umekopa hela za watu,wenyewe wanakuja kuniuliza watakupata vipi,umeazima nguo za watu,begi la kusafiria
 

Kisa umekwenda ,,,,,,,,,,,, la moyoni,umegombanisha wadada Wa watu,lakini mungu nimwema uliyoyasema yote nimekuja kubwagiwa hapa,nitahakikisha nitakutia aibu ya mwaka na huko uliko na kuja uyafanye uliyonifanyia,ila elewa kuwa watu tumezaliwa na nyota,huwezi kuizima labda mungu apende,kwenda hapo maneno mtaa mzima,unawapa dada za watu maneno,kama umekwenda London,..twende basi na huko kwingine labda utajifunza mamaee mtu mzima ovyo tulia Mdada maisha 

tumekundisha wenyewe tutakutia aibu,hiyo ni trellar,mumeo anajua umekwenda fanya nini,ila safari sikuachi nimekuchoka why why unanifatilia mtu mzima uso umekuparama... sikuogopi na nimefanya hivi ili twende sawa,taarifa zikufikie mapema,"
Comments
Zejuly Jiji Pesa
Zejuly Jiji Pesa Jamani kweli mtumzima afanani na we Dada angu asikuumize kichwa achana nae bina damu wamezaliwa wana sema tatizo yota dadaangu ume mzidi kwa megi ndomana Ana kufatilia wakuacheee tajili kabisa
Frank Lukero
Frank Lukero Meseji atakua kaipata dea achana nae angalia safari kapae kapumzi
Like · Reply · 1 · 2 hrs
Frank Lukero
Rahim Mohamed Secha
Rahim Mohamed Secha lucy achana na hizi style sheria za mitandao ni nomaa
Halima Masoud
Halima Masoud Pole sana mdg wangu hii dunia ndo ilivo ina mambo na vijimambo vita subra mdg ukiona mtu anakujadili ujue umemzid kwa kila kitu na anakukubali
Like · Reply · 1 hr
Lucky Johnbosco
Lucky Johnbosco Rahim Mohamed Secha najua sheria zipo sijamtukana ila huyu dada amezidi sana anapenda kunifatilia
Like · Reply · 1 hr
Lucky Johnbosco
Lucky Johnbosco Zejully huyo dada nilimsaidia mno malipo yk ananipaka mabaya Kwa watu,mpk nimeamua kumchora nahisi kumtapika
Like · Reply · 1 hr
Lucky Johnbosco
Lucky Johnbosco Shem Frank Lukero huyu dada ni tatizo mtu mzima hajitambui
Like · Reply · 1 hr
Lucky Johnbosco
Lucky Johnbosco Halima Masoud huyo mtu mzima c mara yakwanza cjui ananitaka nini,mpk nimeamua kumtumia ujumbe humu umfikie Kwa haraka
Like · Reply · 1 hr
Juma Muhamed
Juma Muhamed achana nalo galasa ilo litakupotezea mda
Like · Reply · 1 · 1 hr
Zejuly Jiji Pesa
Zejuly Jiji Pesa Achana nae mami shuklani ya punda matekee
Mwanga Happy Chris
Mwanga Happy Chris Achana nae uyo tabia ya mtu ni ngozi maisha mafupi mpendwa
Mwanga Happy Chris
Mwanga Happy Chris Dunia itamuanika
Mustapha Mussa
Mustapha Mussa We mamdogo bhana sinilikukataza dawa ya mtu kama huyo ni kumkalia kimya kama ujasikia kitu alafu siku ukikutana nae ndio atafurai na show yako
Lucky Johnbosco
Lucky Johnbosco Mustapha Mussa baba yangu nilinyamaza ila vitu vilivyotokea jana cjali penda why mbona mimi simfatilii
Mwanga Happy Chris
Mwanga Happy Chris Dada nakushauri tuuu hachana na pasua vichwa
Mustapha Mussa
Mustapha Mussa Sasa nikwambie kitu mamdogo tambua kuwa kuna watu wako hapa duniani kwa ajili ya kuhalibu furaha za watu mimi kwa ushahuri wangu mamdogo we kausha alafu najua fika jinsi ya kumpata unaijua hapo sasa ndio utaipata suluu ya huyo dada kama atakuwa katumwa au ni wivu wake binafsi wa maisha ya watu
Like · Reply · 1 · 1 min
Mwanga Happy Chris
Mwanga Happy Chris Asante mustapha mussa

0 comments:

Post a Comment