![]() |
| Wastara Juma Issa. "Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu,nyumba zangu 2 zimewekwa x,na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana #HAPA NI KUBOMOLEWA TU." |
Geologist Asiye Na Ajira Ushaanza kuisoma namba siyo ??
Bernard Malebo Pole, Mwnyz Mungu akupe nguvu ushinde hili.
Renatus Kivike Hapa kaziiii tuuuuu
Leticia Mhagama Mmeipenda wenyewe, Pole my dada, Mungu akutie nguvu
Rossan Samuel Mbelwa Ccm INA wenyewe
Abdul Gedo Ally mwache abomolewe tu
Renatus Kivike Mmejipendekeza
na kutengeneza keki kubwa ambayo hujafikiria hata siku moja kufanya
hivyo kwenye siku ya kuzaliwa baba au mama yako
Andrew Laly pumbavu ndio mulikua kimbelembele kipindi cha uchaguz sasa hapa kaz tu
Solomon Saitabau hajui kusoma no? ccm mbele kwa mbele
Mashaka Tamba Masanii kama ww unajenga mtoni pole
Rossan Samuel Mbelwa Mmmmh mpk rahaaa
Renatus Kivike Eti mama ongea na mwanao ameshaongea tulieni dawa iwaingie hapa kazi tuu
Renatus Kivike Malipo Ni humu humu
Lucas Heri umeipenda mwenyewe chaguo lenu wenyewe hachaeni waisome namba ee ccm mbele kwa mbele...sijui nimeupatia
Omary Challesy urishangiria
ariposema hapa kazi na leo tukuombee wakati maripo ndio hayo ya
kumshangiria bomoa zote mwisho mtakumbbuka mabadiriko ya rais wangu
rowasa
Kennedy Msoma Bado tuu hawajabomoa? Niwapigie cm ili uisome namba
Seleman Thabit Na bado mliependa wenyewe na mlizunguka nchi nzima kunadi chama so ulichovuna kajengee nyumba nyingine kma ulilia bata pole yko
Danny Sonde Hatunywi
sumu hatujinyongiiiiiii kubomoa mbele kwa mbele mmeipenda wenyewe
khanka chaguo lenu milele khanka wacha waisome namba eeeeeeh bomoa
bomoa mbele kwa mbele
Marcel Maembe Pole mama!
Malick Matelephone Umeziona faidaza ccm dada
Donatha Kimaro Unafikiri
ukivunja sheria hakuna uko ccm wala ukawa ila tutaendelea kukipends
chama chetu hats mlete unafiki wenu tumeshawazoea ninyi
Lucas Heri waliwaruhusu hawa watu wajenge hawakuvunja sheria

Justin James pole xana
Priscus Hendry Nani alikuambia ujenge bondeni
Juma Waziry daahy pole sana , nio mambo ya hapa kazi tuu dada yangu pole sana na jipange tena dadaa
Kimei Harold Pole sana.
Rama Pimbi Ndio ukome ushapiki wa fisiem
Justin James ila hapa kaz 2 mama
ZE Bosco Rufatiye Wameipenda wenyewe chaguo letu wenyewe acha waiiiisome namba eeee Ccm mbere kwa mbere
Benson Lupakisyo ile ile,walewale na bado mtaisoma namba kwa kuongozwa na viongozi waliokosa hekima na busara
Jackson Jackson Ngoja Upate Faida Ya Ccm,tena Wavunje Leo,ndo Kuisoma Namba






























0 comments:
Post a Comment