Wale
watu wenye umri mkubwa wanajua kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu
Julius Nyerere alikuwa na uhusiano mbaya na Shirika la Fedha la Dunia
IMF na Benki ya Dunia akiwa madarakani.
Alipoingia madarakani, Ali
Hassan Mwinyi aliamua kufuata masharti yaliyowekwa na mkubwa huyo. Hali
ya uchumi ikawa mbaya. Hata hivyo, Mwalimu aliwafanya Watanzania kuwa
kitu kimoja.
0 comments:
Post a Comment