Posted by Williammalecela.com on Friday, January 15, 2016
 |
| watu wangu wa A town mnamjua huyu chaliii |
 |
| Mr n Mrs?? oooooh nouuu |
 |
| huu utandawazi unatuharibu |
Daaah
hii dunia ina mambo sana yaani wameamua kuja Africa na kutuolea kaka
zetu, sasa hiki ni nini yarabiii, unaambiwa huyo kijana anatokea Arusha
kaenda kuolewa UK looh kaka zangu msiokaa mkajishughulisha na biashara
mnapenda slope hii itawahusu aiseeee, mkaka mzuri angeoa na akatulia na
familia yake sasa ameolewa yeye khaaaa , bora na wale wanaodanga na
kudangikaaa na kujiopolea kuliko hawa.....
0 comments:
Post a Comment