Sunday, January 24, 2016

jal1
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunhe kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. Kutoka kushoto  ni  Dkt. Raphael Chegeni wa Busega, Adadi Rajabu wa Mhuheza  na Jason Rweikiza wa Bukoba Vijijini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

jal3
 Waziri Mkuu, Kassim Majlaliwa akizungumza na wenyeviti wa Kamati za Bunge Ofisini kwake mjini Dodoma Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
jal4jal5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mbunge wa Busega, Dkt.Raphael Chegeni kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment