Posted by Williammalecela.com on Thursday, February 04, 2016
 |
| Jaji warioba |
Akihojiwa na ITV Jaji warioba amesema kurudia Uchaguzi Zanzibar ni hatari na inaweza kupelekea umwagaji wa damu.
Jaji warioba amesema ni vema atafutwe msuluhishi wa katikati na pande zote zirudi mezani.
0 comments:
Post a Comment