Saturday, March 19, 2016


WATU watano wamekamatwa wakituhumiwa kusababisha kifo cha mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Monique Koumate na watoto wake mapacha Jumamosi, iliyopita huko Douala nchini Cameroon. 
Waliokamatwa ni mkunga wa hospitali hiyo, wauguzi wawili, mhudumu mkuu wa chumba cha kuhifadhia maiti ‘Mortuary’ na mdogo wa marehemu Koumate.


0 comments:

Post a Comment