Posted by Williammalecela.com on Tuesday, March 15, 2016
Ni headlines zilizochukua nafasi kubwa katika mitandao mbalimbali hivi karibuni kuhusiana na msanii Bob Junior kukamatwa na jeshi la polisi, sasa basi msanii huyo yuko uraiani na hapa amefunguka mengi ambayo tulikuwa hatuyafahamu kuhusu kukamatwa kwake.
0 comments:
Post a Comment