March 16 wasanii wa muziki Tanzania wamekutana na waziri wa habari, vijana sanaa, utamaduni na michezo Nape Nnauye kujadili mambo kadhaa ikiwemo ugawaji wa mirabaha ya kazi zao, wasanii wamejadiliana na waziri amethibitisha kuwa serikali ina mpango wa kurasimisha sanaa kuwa kazi rasmi.
0 comments:
Post a Comment