Afisa Ardhi wa Wilaya ya Ngara, Betty Munuo wa Pili kushoto na
Mwenyekiti wa kijiji cha Rwakalaman, Brighton Kemkimba (kulia)
wakimsikiliza Waziri Mkuu wakati alipozunguma katika kijiji cha Kasulo wilayani Ngara machi16, 2016.
Mwenyekiti wa kijiji cha Rwakalaman, Brighton Kemkimba (kulia)
wakimsikiliza Waziri Mkuu wakati alipozunguma katika kijiji cha Kasulo wilayani Ngara machi16, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipitia majina ya watu wanaomiliki ardhi
kubwa katika vijiji vya kasharaza na Rwakalemela wilayani Ngara
aliyokabidhiwa na Afisa Ardhi wa wilaya hiyo Betty munuo katika mkutano
aliohutubia kwenye kijiji cha Kasulo wilyani Ngara Machi 16, 2016.
kubwa katika vijiji vya kasharaza na Rwakalemela wilayani Ngara
aliyokabidhiwa na Afisa Ardhi wa wilaya hiyo Betty munuo katika mkutano
aliohutubia kwenye kijiji cha Kasulo wilyani Ngara Machi 16, 2016.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)


0 comments:
Post a Comment