Wednesday, March 16, 2016

 Afisa Ardhi wa  Wilaya ya Ngara, Betty Munuo wa Pili kushoto na
Mwenyekiti wa kijiji cha  Rwakalaman, Brighton  Kemkimba  (kulia)
wakimsikiliza Waziri Mkuu wakati alipozunguma katika kijiji cha   Kasulo wilayani  Ngara  machi16, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipitia majina ya watu wanaomiliki ardhi
kubwa katika  vijiji vya kasharaza na Rwakalemela wilayani Ngara
aliyokabidhiwa na Afisa Ardhi wa wilaya hiyo Betty munuo katika mkutano
aliohutubia kwenye kijiji cha Kasulo wilyani Ngara Machi 16, 2016. 
 (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment