Friday, March 11, 2016

Manager Mkuu wa Public Relations wa Emirates  Airlines Leo alikutana na Le Mutuz Nation huko Palace Hotel Mjini Dubai ambapo panoja na kula naye Chakula cha jioni, alimuahidi kufanya mambo makubwa kwa Wapenzi wa Arsenal hapa Bongo kutokana
na Emirates kama Shirika la Ndege kuwa ndio Wadhamini wakubwa wa Arsenal. Bw. Andre Martin alimuahidi Le Mutuz Kampuni HIYO kumpa mkataba wa kuitangaza Kampuni hiyo kwenye Social Media hapa Tanzania na East Africa.

0 comments:

Post a Comment