Saturday, March 19, 2016

Leo March 18 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekutana na Kamanda wa Polisi kanda maalum Simon Sirro pamoja na Askari Polisi kwa lengo la kujionea mwenendo wa jeshi hilo, lakini kubwa ni hili la kutangaza kutoa zawadi ya milioni moja kila baad ya miezi mitatu kwa kila Askari Polisi aliyepambana na majambazi.


0 comments:

Post a Comment