Monday, March 28, 2016

neyo

Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani Ne-yo athibisha ujio wake nchini  Tanzania katika tamasha kubwa la Jembeka Festivallitakalofanyika jijini Mwanza mwezi Mei mwaka huu.
Ne-Yo performs during the Grammy Nominations Concert in Nashville, Tennessee
Kupitia ukurasa wao Jembe ni Jembe ambao ndio haswa watayarishaji wa shoo hiyo wameandika hivi “Ne-yo &Dimond Platnumz live at the Grand Jembeka Festival,usikose show hii ya kihistoria mwanza 21/05/2016 kwa Tsh 10,000”

Katika Shoo hiyo atakuwepo pia Diamond Platnumz ambapo nae kwa sasa yupo katika ‘tour’ yake ulaya.
mama15-marquee-diamond-800x451
Kumbuka wawili hao wako katika matayarisho ya ngoma yao ambapo Diamond amemshirikisha Ne-yo, kwamujibu wa Diamond Platnumz alisema video yake itafanyikia ulaya na Afrika.

Jiunge nasi hapa

0 comments:

Post a Comment