Friday, March 18, 2016


3241FAD500000578-0-image-a-8_1458144974451
Mwezi December mwaka jana, Nicki Minaj alionesha pete ya almasi iliyowafanya wengi waamini kuwa amechumbiwa na Meek Mill.

Na sasa rapper huyo amekiri kuwa hata mpenzi wake huyo amekuwa akichanganya hatua ya uhusiano waliyofika. Nicki amekava issue ya April ya jarida la Nylon na kukiri kuwa Meek bado hajamchumbia.
3241FAC900000578-0-image-a-12_1458145028945
Hivi karibuni Nicki alidai kuwa Meek anataka ampe pete tatu kabla hawajafunga ndoa na kwakuwa hadi sasa amempa mbili tu, rapper huyo anaona ni sawa kumuita Nicki mchumba hata kama bado haijawa rasmi.
3241FACD00000578-0-image-a-11_1458145026386
‘I’m not engaged yet.… He said that my third ring would be my engagement ring. ‘But sometimes he calls me his fiancée, and I’m always trying to stop him, like, “Nope! I ain’t got that third ring yet,’ alisema Nicki.
3241FAD100000578-0-image-a-10_1458145021585
Tazama picha zaidi za rapper huyo kwenye jarida la Nylon.
3241FAE500000578-3495421-image-a-16_1458146198895
3241FAD900000578-3495421-image-a-15_1458146129439
3241FADD00000578-3495421-image-a-17_1458146201647
3241FAE100000578-3495421-image-a-18_1458146210413

CHANZO na Bongo5

0 comments:

Post a Comment