STAA
wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul
‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine
malkia wake wa nguvu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Risasi
Jumamosi linakuhabarisha.
Diamond
ambaye tayari amejaaliwa mtoto mmoja (Tiffah) na mrembo huyo raia wa
Uganda, amefunguka jambo hilo hivi karibuni alipokuwa akifanya mahojiano
mafupi na mwanahabari wetu kuhusu mikakati yake ya kimaisha.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment