Mjengo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar lilioko katika mitaa ya Chukwani Zanzibar linategemea kuaza Vikao Vyake March 20, 2016 kwa Wawakilishi kula kiapo na Kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Ukumbi wa Mikutano wa Baraza la Wawakilishi Chukwani ukiwasubiri Waheshimiwa kuapishwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein kulihutubia siku ya 30 March 2016 jioni.
0 comments:
Post a Comment