Wednesday, April 27, 2016

53 mins ·
DAR: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, yawafutia shtaka la utakatishaji fedha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TRA, Harry Kitilya na wenzake wawili.
-Baada ya kufutwa kwa shtaka hilo wataweza kupewa dhamana

0 comments:

Post a Comment