Friday, April 8, 2016

Mwanamitindo Hamisa Mobeto.
Stori: Mwandishi Wetu, Ijumaa
DAR ES SALAAM: Baada ya mpenzi wake kunyakuliwa na staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’, mwanamitindo Hamisa Mobeto amedaiwa kuingia kwenye penzi la mfanyabiashara Mkongo, Mwami Rajabu ambaye ana msururu mrefu wa mastaa aliowahi kudaiwa kutoka nao.
Kabla ya kumnasa Mobeto, Mkongo huyo ameshawahi kuripotiwa kutembea na mastaa warembo tofauti Bongo akiwemo Husna Maulid, Jacqueline Wolper, Agnes Gerald ‘Masogange’, Tunda Sabastian na Wema Sepetu.

0 comments:

Post a Comment