Wednesday, April 27, 2016

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam Mh. Ally Hapi jana tarehe 26/4/2015 alifanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoko manispaa ya Kinondoni.
Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na watendaji mbalimbali wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni, Mh. Hapi alikagua na kupokea taarifa ya miradi mbalimbali iliyokamilika na inayoendelea kukamilika.
Ushauri wangu kwakwe:
Usikubali kupokea taarifa mezani za kumalizika au kuendelea kwa miradi. Hao watu ni wajanja sana uliokuwa nao, wana uwezo wa kumaliza mradi kwenye karatasi na wakati ukienda nje maskini ya Mungu huo mradi ndio kwanzaaaa haujaanza.





0 comments:

Post a Comment