Posted by Williammalecela.com on Monday, April 25, 2016
 |
Mkuu wa Mkoa Mh. Amos Makala, Akutana na kuongea na baraza ka askari Mkoa wa Mbeya
wakiwemo kamanda polisi Mkoa, ma Ocd wa wilaya zote, maafisa na askari
wa kawaida na kuwataka kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na weledi ,
awataka wahakikishe Mkoa unakuwa shwari wahakikishe wanaoambana na
majambazi na wahalifu Mkuu Mkoa pia amekuwa miongoni mwa viongozi waliohakikiwa silaha zao na amewataka wananchi wote kuhakiki silaha zao Aidha amewataka kuharakisha upelelezi wa kesi kupunguza msongamano wa wafungwa gerezani |
 |
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makal ali[pokwenda Polisi kuhakiki silaha yake ya binafsi. |
0 comments:
Post a Comment