Monday, April 25, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala atembelea gereza kuu la Luanda Mbeya akagua Malazi, zahanati na kula Chakula gerezani
Pia ameongea na wafungwa na mahabusu na kuwahaidi kufuatilia tatizo la uchekeweshaji kesi kwa kisingizio cha upelelezi
Amewatembelea wachezaji wa timu ya Prison na amepatiwa jezi ya prison kama alwalivyofanya Mbeya city waliompa jezi ya jina lake
Amezitaka timu za Prison na Mbeya city kubaki ligi kuu ili zijipange vizuri ligi kuu Msimu ujao.








0 comments:

Post a Comment