Thursday, April 21, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya atembelea uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Songwe ( Mbeya). Uwanja ilikamikika utakuwa kicheche I cha biashara ikiwemo utalii na usafirishaji wa Maua na mboga mboga nje ya nchi
Aagiza maamlaka na taasisi zingine zijipange kuwa na raslimali watu na pia wautangaze uwanja na vivutio mkoani Mbeya na mikoa jirani
Uwanja una urefu wa km 3.5 njia ya kutumia Ndege wakati uwanja wa Jk Nyerere una 3 km
Jengo la kusubiri a abiria ni kubwa uwezo wa kuhudumia wasafiri 30-500 kwa saa
Ndege za abiria zitakazotua ni aina za Fokker na Airbus
Ndege ya mizigo tani 500 itakuwa na uwezo wa kutua Songwe
Hapa kazi tu





0 comments:

Post a Comment