Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu
Wakisalimiana.
HII
ni taswira ya maandalizi ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara za
juu (Fly Over) katika makutano ya barabara Nyerere na Mandela (Flyover
ya TAZARA) jijini Dar es Salaam ambapo Rais wa jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezindua rasmi mradi huo leo
Jumamosi tarehe 16 Aprili, 2016.
Flyover
ya Tazara, Dar itakuwa ni barabara ya pili kwa ukubwa Afrika Mashariki
baada ya Super High Way ya Kenya iliyozinduliwa mwaka 2012 iliyojengwa
kwa Ushirikiano wa Benki ya Afrika na Serikali ya Kenya.
Aidha
mradi wa ujenzi wa barabara za juu Flyover ya Tazara unatarajiwa
kukamilika ifikapo Oktoba 2018 hivy kupunguza adha ya msongamano kwenye
barabara hiyo kwa asilimia 80.
0 comments:
Post a Comment