Saturday, April 2, 2016

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford.
Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa amekutana na kipigo cha mara kwa mara
kipindi anaishi na baba mtoto wake Dickson Matok ‘Dick’ kiasi ambacho alikuwa akikaribia kupata athari kwenye ubongo.

0 comments:

Post a Comment