Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford.
NA IMELDA MTEMA, Risasi Jumamosi
STAA
wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati amemsweka lupango mzazi mwenziye
Dick Matoke, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay kwa kile kinachodaiwa
kuwa mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kumtukana mara kwa mara
akishirikiana na mpenzi wake wa sasa ambaye jina lake halikuweza
kupatikana mara moja.
0 comments:
Post a Comment