Saturday, April 9, 2016

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford.
NA IMELDA MTEMA, Risasi Jumamosi
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati amemsweka lupango mzazi mwenziye Dick Matoke, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay kwa kile kinachodaiwa kuwa mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kumtukana mara kwa mara akishirikiana na mpenzi wake wa sasa ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja.

0 comments:

Post a Comment