Saturday, April 9, 2016

  
Mkuu wa Mkoa atembelea halmashauri ya Rungwe na kuongea na watumishi, madiwani, viongozi wa dini, Siasa, wazee maarufu na Kamati Ulinzi na usalama
Amewataka madiwani kuisimamia halmashauri kuhakikisha wanakagua miradi itakayotekekezwa inakidhi viwango na inaendana na thamani ya Fedha 
Aidha amezitaka serikali za Vijiji kusoma taarifa za mapato na matumizi kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa ili kuondoa manunguniko ya wananchi katika maeneo yao
Amesisitiza nidhamu ya uwajibikaji na kutatua Kero za wananchi kwa wakati na hivyo amewataka watumishi na watendaji ngazi zote kuacha kufanya kazi kwa mazoea

0 comments:

Post a Comment