Monday, May 2, 2016


13129404_1736466733267769_1019106413_nGerald Hando, Adella Tillya na Paul James wakiwa nje ya jengo la K-Net wakiendesha kipindi chao live

Kwa siku nyingi wapenzi wa redio walikuwa wakiwasubiri kwa hamu Gerald Hando na Paul James waliohamia EFM kuona wana kipya gani.
Leo, May 2, wawili hao wameanza kwenda hewani kupitia kipindi cha Joto la Asubuhi. Aliyekuwa mtayarishaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM walikokuwa wawili hao, Abel Onesmo naye ameungana nao.



13098924_971498682966997_2005878851_n
Hata hivyo wawili hao wameanza kazi kwa mtindo wa aina yake. Kipindi cha Joto la Asubuhi kimezinduliwa upya kwa matangazo kurushwa live nje ya jengo la K-Net zilipo studio zake maeneo ya Maringo – Kona ya Kawe. 
13092273_514686092055128_1728290744_n

0 comments:

Post a Comment