Wednesday, May 18, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makalla akutana na wenyeviti wa vijiji, watendaji wa vijiji na kata halmashauri ya Mbeya
Mkuu wa mkoa amewataka wakuu wa idara hiyo kuwaelekeza wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali vijijini kuwashirikisha viongozi wa vijiji kwakuwa wananchi ndiyo wanufaika wa miradi hiyo
Aidha amewataka viongozi hao kuhakikisha wanasimamia taarifa za mapato na matumizi katika vijiji vyao ili kuondoa manunguniko kwa wananchi wanaotaka kujua juu ya matumizi ya fedha za umma katika Vijiji vyao





0 comments:

Post a Comment