Wednesday, May 18, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makalla atembelea shirika la reli Tanzania na zambia akagua uharibifu wa miundombinu ya reli inayotozwa na wizi wa vyumba uchimbaji mchanga na kokoto
Mkuu wa mkoa amewashukia wezi wa vyuma vya reli na wananchi wanaochimba mchanga na kokoto na kuathiri nguzo za reli ya Tazara
Akiongea na viongozi wa vijiji reli inakopita , viongozi wa Tazara na wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama mkoa amewataka viongozi vijiji kushirikisna na jeshi la polisi kukomesha wizi na shughuli zinazoathiri miundombinu ya reli
Ameagiza jeshi la poilisi kuweka doria na kusaka wanunuzi wa vyuma hivyo.











0 comments:

Post a Comment