Posted by Williammalecela.com on Tuesday, May 17, 2016
 |
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala atembelea kikosi cha jeshi la wananchi 44KJ mbalizi na hospitali kuu ya kanda ya Jeshi Ameridhishwa na hali ya usalama mpaka wa Tanzania na nchi za Malawi na Zambia Aidha amefurahishwa na huduma za zinazotolewa na hospitali ya jeshi kwa wananchi Raia, wanajeshi na familia za jeshi |
0 comments:
Post a Comment