Nyota
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenyooshewa kidole na baadhi ya
watu wake wa karibu tangu kitambo wakidai kuwa, toka kuukwaa umaarufu
kupitia sanaa hiyo na kusemekana akaunti yake benki inasoma shilingi
bilioni 8, amekuwa na dharau wakiitaja ni kwa asilimia mia moja, Amani
lina kila kitu.
Kwa
mujibu wa watu hao, wakiwemo waliyosoma naye shule ya sekondari,
Diamond wa sasa si yule wa zamani kwa vile ana fedha nyingi na ana jina
kubwa huku pia akijulikana kimataifa.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment