Hamida Hassan na Mayasa Mariwata, Ijumaa
LICHA
ya kukana kuwa hakufika kwenye pati ya sherehe ya kuzaliwa ya mama yake
Wema, Mariam Sepetu iliyofanyika katika ukumbi wa Samaki Samaki, Masaki
jijini Dar es Salaam juzikati,
inadaiwa kuwa Idris Sultan, mtangazaji
wa Kituo cha Redio cha Choice FM, ambaye ni mpenzi wa sasa wa muigizaji
nyota Wema Sepetu, alizuiwa getini kuingia ndani ya ukumbi, kisa na
mkasa, Ijumaa lina kila kitu.
0 comments:
Post a Comment