LICHA
ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto
mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza
habari,
amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar
Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo.
0 comments:
Post a Comment