Siri
nzito! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kuvuja kwa picha za mzazi
mwenzake na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,
Zarina
Hassan ‘Zari The Bosslady’ na mtalaka wake, Ivan Ssemwanga wakiogelea
kwenye bwawa moja nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
0 comments:
Post a Comment