Mama
yake Wema Sepetu, Mariam Sepetu amefunguka na kueleza jinsi
anavyoumizwa na stori za uongo kuhusu mwanae ambazo zimekuwa zikiandikwa
katika magazeti ya udaku.
wemaAkizungumza katika kipindi cha Clouds E
cha Clouds TV Alhamisi hii, Bi Mariam amesema amekuwa akigombana mara
kadhaa na baadhi na viongozi wa magazeti ya udaku kuhusu stori za uongo.

0 comments:
Post a Comment