Pele kupiga mnada medali zake zote
Nyota wa soka
kutoka Brazil, Pele, ameamua kupiga mnada medali zote alizoshinda na
vitu vingine vyenye dhamani alivyopata wakati alipokuwa mchezaji nguli
duniani .
![]() |
| Mnada huo utakaodumu muda wa siku tatu, unaanza leo mjini London Mnada huo utakaodumu muda wa siku tatu, unaanza leo mjini London na unatarajiwa kukusanya mamilioni ya pesa. |
![]() |
| Baadhi ya medali za Pele zitakazouzwa leo mjini London Wataalamu wanasema huenda mnada huo ukawa ndio mkubwa zaidi wa vifaa vya michezo kuwahi kufanyika. |
![]() |
| Medali zote alizoshinda wakati wa kombe la dunia pia zitauzwa Medali zote alizoshinda wakati wa kombe la dunia pia zitauzwa wakati wa mnada huo. |
![]() |
| Pele ambaye alianza kuchezea Brazil mika 60 iliyopita anasalia kuwa mfungaji bora zaidi wa mabao nchini humo.
Source: BBC Swahili |





0 comments:
Post a Comment