Sheria
ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia
matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais kwenye
mtandao wa WhatsApp.
Hapa cha muhimu ni kujuwa sheria hii inafanya
kazi, inakamata, inahukumu na kufunga wananchi. Tutumie lugha ya staha,
vijana hamko salama kwenye fb, twitter na WhatsApp...sheria ya mitandao
ipo na inazunguka kama Simba aungurumae akitafuta mawindo.

0 comments:
Post a Comment