DAR
ES SALAAM: “Msongo wa mawazo ni tatizo kubwa duniani linalotokana na
kusheheni kwa mawazo ya kila wakati, husasan kuhusu maisha au afya. Kwa
hiyo anachofanya Diamond kwa baba yake ni sawa na kumuua kwa sababu ya
kumsababishia msongo,” ndivyo alivyosema daktari Rweyemamu wa hospitali
moja ya jijini Dar.
Daktari
Rweyemamu alizungumza na Amani hivi karibuni kufuatia habari
zinazoandikwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuhusu nyota wa
Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwamba amemtelekeza baba yake, Abdul
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment