Posted by Williammalecela.com on Friday, July 15, 2016
Baraza
la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka
huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu
mtendaji wa NECTA bado anaendelea
kuongea mnaweza ona matokeo kwa
website yao na ya TAMISEMI, endelea kupata update
KWA MATOKEO: BOFYA HAPA
0 comments:
Post a Comment