Thursday, July 14, 2016

 
Sasa ni Mr. & Mrs, mbunge wa kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amemuoa mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote zimefanyika Zanzibar


Siku ambayo Zitto Kabwe alimvisha pete mpenzi wake


wakati wakifunga ndoa leo Zanzibar

Picha hii kwa hisani ya Gazeti la Mwananchi

0 comments:

Post a Comment