Posted by Williammalecela.com on Friday, July 29, 2016
Mwanamuziki
kutoka DRC, Koffi Olomide aachiwa huru siku moja mara baada ya
kuhukumiwa kifungo cha miezi 18 jela mjini Kinshasa, kwa tuhuma za
kumpiga teke dansa wake kike katika Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha
Jomo Kenyatta siku ya ijumaa, Julai 22.
0 comments:
Post a Comment