Friday, July 29, 2016


Mwanamuziki kutoka DRC, Koffi Olomide aachiwa huru siku moja mara baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi 18 jela mjini Kinshasa, kwa tuhuma za kumpiga teke dansa wake kike katika Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Jomo Kenyatta siku ya ijumaa, Julai 22.

0 comments:

Post a Comment