Shule ya Sekondari ya Lindi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo. Moto huo ambao ulianza majira ya saa saba usiku na Uliweza Kudhibitiwa kutoleta Athari zaidi baada ya Jeshi la Polisi, Kikosi cha Zimamoto na Wananchi kushirikiana kwa pamoja na kufanikiwa kuudhibiti saa Moja asubuhi ya leo.

Majengo mengine ya shule yapo salama yakiwemo mabweni.
Mpaka moto huu ulipodhibitiwa mali zifuatazo zilikuwa tayari zimeshaungua:-

0 comments:
Post a Comment