Friday, July 22, 2016


MCHORA Katuni maarufu TZ,Masoud Kipanya leo hii amefunguka mazito kuhusiana na katuni zake anazochora na kuchapishwa na gazeti la MWANANCHI.

Kipanya au KP amesema kuwa katuni zake ili uweze kuzielewa inakubidi kutumia akili kubwa sana kabla ya kuapata jibu la kina juu ya alichochora

0 comments:

Post a Comment