Tuesday, July 26, 2016



Baada ya miezi kadhaa ya mfarakano wa ndani kwa ndani, kundi la P-Square limerejea.
Member wa kundi hilo, Peter Okoye ametangaza kuwa wamemaliza tofauti zao na yote yaliyopita wameyaacha yapite. Peter amedai kuwa walijaribu kila mmoja kushika njia yake lakini wameshindwa.

0 comments:

Post a Comment