Posted by Williammalecela.com on Tuesday, July 26, 2016

Baada ya miezi kadhaa ya mfarakano wa ndani kwa ndani, kundi la P-Square limerejea.
Member
wa kundi hilo, Peter Okoye ametangaza kuwa wamemaliza tofauti zao na
yote yaliyopita wameyaacha yapite. Peter amedai kuwa walijaribu kila
mmoja kushika njia yake lakini wameshindwa.
0 comments:
Post a Comment