Monday, July 25, 2016

Esma Platnumz na mumewe, Hamad Manungwa ‘Petit Man’
STORI: Imelda Mtema, Wikienda
Dar es Salaam: Mume wa dada wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz, Hamad Manungwa ‘Petit Man’ amefunguka kuwa watu wanachonga juu ya uhusiano wake na mzazi mwenzie huyo lakini ndiyo ameshanasa hadi kiama.

0 comments:

Post a Comment