Esma Platnumz na mumewe, Hamad Manungwa ‘Petit Man’
STORI: Imelda Mtema, Wikienda
Dar
es Salaam: Mume wa dada wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,
Esma Platnumz, Hamad Manungwa ‘Petit Man’ amefunguka kuwa watu
wanachonga juu ya uhusiano wake na mzazi mwenzie huyo lakini ndiyo
ameshanasa hadi kiama.
0 comments:
Post a Comment