Tuesday, July 5, 2016

 Kamanda wa Polisi mkoa Singida Thobias Sedoyeka amethibitisha kuwa ajali ya basi T 531 BCE likitokea Dar es salaam kwenda Kahama na T 247 linattoka Kahama kwenda Dar es salaam yote ya kampuni moja CITY BOYS yamegongana uso kwa uso na kuuwa abiri abiria wengi papo hapo na kujeruhi wengine.

0 comments:

Post a Comment