Posted by Williammalecela.com on Friday, July 01, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
amempokea Mhe. Paul Kagame Rais wa Jamhuri ya Rwanda kwa ziara rasmi ya
kiserikali.
Rais Magufuli ameambatana na Mkewe Mama Janeth
Magufuli na Rais Kagame ameambatana na mkewe Mama Jeannette Kagame.
Ziara hii ni ya siku mbili.
0 comments:
Post a Comment