Tuesday, July 5, 2016


Rais wa Wasafi,Diamond Platnumz ameweka wazi sababu ya kuchelewa kutoka kwa wimbo wake alioufanya dhidi ya kundi la wanii kutoka Nigeria P square  ,kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amefichua sababu hizo kuwa ni pamoja na kuangalia masuala ya kimaslahi .

Hata hivyo Staa huyo mwenye tuzo zaidi ya 40 za kimataifa amewataka mashabiki wake kukaa mkaoa wa kula kwani bado ataachia track hiyo hivi karibuni
A video posted by Chibu Dangote (@diamondplatnumz) on

0 comments:

Post a Comment