Rais wa Wasafi,Diamond Platnumz ameweka wazi sababu ya kuchelewa kutoka kwa wimbo wake alioufanya dhidi ya kundi la wanii kutoka Nigeria P square ,kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amefichua sababu hizo kuwa ni pamoja na kuangalia masuala ya kimaslahi .
Hata hivyo Staa huyo mwenye tuzo zaidi ya 40 za kimataifa amewataka mashabiki wake kukaa mkaoa wa kula kwani bado ataachia track hiyo hivi karibuni

0 comments:
Post a Comment