Tuesday, July 5, 2016


Mkurugenzi wa mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa Uzinduzi ya huduma mpya ya”Ya kwako tu” itakayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kujipatia vifurushi vya gharama nafuu kadri ya matakwa yao wapendayo kuanzia vya huduma ya data,kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maneno.Ili mteja aweze kujiunga na huduma hii anatakiwa kupiga namba*149* 01# na kuchagua ya kwako tu,anayeshuhudia kushoto ni Afisa Mkuu wa Idara ya masoko wa kampuni hiyo,Ashutosh Tiwary na Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa wa kampuni hiyo,Danilo De Sousa.


Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakifatilia jambo kwa umakini wakati wa Uzinduzi ya huduma mpya ya”Ya kwako tu” itakayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kujipatia vifurushi vya gharama nafuu kadri ya matakwa yao wapendayo kuanzia vya huduma ya data,kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maneno.Ili mteja aweze kujiunga na huduma hii anatakiwa kupiga namba*149* 01# na kuchagua ya kwako tu.
Waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa Uzinduzi ya huduma mpya ya”Ya kwako tu” itakayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kujipatia vifurushi vya gharama nafuu kadri ya matakwa yao wapendayo kuanzia vya huduma ya data,kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maneno.Ili mteja aweze kujiunga na huduma hii anatakiwa kupiga namba*149* 01# na kuchagua ya kwako tu.


Description: Description: Description: Description: C:\Users\rmtingwa\Desktop\NEW LOGO.JPG




Vodacom customers get flexibility to choose mobile bundles
·      It’s through the  “Ya kwako tu”offer as per their service preference

Dar es Salaam, Tuesday July 5, 2016. In an effort to meet the personalized needs of their customers, Vodacom Tanzania has today launched an offer dubbed “Ya kwako tu” which provides the customer tailor made bundles based on their preferences of service be it ‘data, voice, SMS’ or ‘SMS and voice’.

The personalized offer will allow Vodacom customers to purchase bundles based on prior service preferences. The offer comes as one of Vodacom Tanzania’s efforts to give its customers the power to access what they actually need at reasonable prices and steer away from a one size fits all approach.

Explaining further on how the offer works, Vodacom Tanzania, Managing Executive: Corporate Affairs, Rosalynn Mworia said the “Vodaocom’s Ya kwako tu offer essentially gives a customer who tends to use our voice and SMS services more frequently than data services for instance, the power to maximize on his/her spend by choosing the enriched Just For You bundle with more voice minutes and SMS tailor-made to their usage thus offering more value”
“The Ya kwako tu offer speaks directly to a customer as an individual based on their history of mobile service use and preferences, this means different customers will get different offers, each offer is tailored differently to a particular customer to correspond with their service preferences,” she said.

Mworia said this goes to show that Vodacom Tanzania indeed recognises its various customers have different communication service needs from one another and therefore, Vodacom has innovated towards serving each accordingly.

“We are aware that different customers have different needs, thus others need data more than voice bundles so giving similar offers regardless of a customer’s specific needs is not valuable to all of our customers. We have therefore, made it easy for our customers and taken away the need for them to shop around for a bundle that best fits their daily, weekly and monthly usage and instead go straight to the *149* 01#  menu and select the customized bundle just for them tailored to each individually” added Mworia.   

To access the service and see what the”Ya kwako tu”has in store specifically for you, one will have to dial *149* 01# and select”Ya kwako tu”.  From there one will see a list of offers as per their service preferences.

Description: Description: Description: C:\Users\rmtingwa\Desktop\NEW LOGO.JPG



Wateja wa Vodacom kujichagulia vifurishi wavitakavyo
·        Kupitia Ofa mpya ya”Ya kwako tu”

Julai 5, 2016: Katika dhamira yake ya kufanya ubunifu wa teknolojia kwa ajili ya kuwapeleka watanzania katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia kwa kuwapatia huduma bora za kurahisisha maisha na kwa gharama nafuu leo kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua ofa mpya maalum kwa wateja wake inayojulikana kama“Ya kwako tu” itakayowawezesha  kujipatia vifurushi vya gharama nafuu kwa kadri ya matakwa yao wapendayo kuanzia vya huduma ya data,kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maneno.

Akifafanua jinsi huduma hii inavyoweza kupatikana kwa wateja,Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni hiyo,Rosalynn  Mworia amesema kuwa ofa hii inawezesha mteja kununua vifurushi kutokana na chaguo lake jinsi anavyotumia huduma za mawasiliano,kama anapendelea vifurushi vya muda wa maongezi anapatiwa, badala ya kulazimika kuingizwa kwenye vifurushi vya data na atakayehitaji kununua vifurushi vya data hatalazimika kununua muda wa maongezi kadhalika wanaohitaji vifurushi vya data na muda wa maongezi watapatiwa pia.

“Ofa hii ya“Ya kwako tu”  imelenga kuleta unafuu kwa wateja wetu na kila mmoja atanufaika kwa kupata unafuu kadri ya matumizi yake  na tunataka kuhakikisha kila mmoja anapata kifurushi kutokana na chaguo lake na huduma anayotaka na ndio maana Ofa hii  ni kwa ajili ya wateja wenyewe kama ilivyo jina lake la “Ya kwako tu” yaani kwa ajili yako.Alisema Mworia.

Alisema siku zote Vodacom inawathamini wateja wake na muda wote imekuwa ikisikiliza matakwa yao ili wapate huduma bora kadri wapendavyo na ndio maana imewaletea ofa hii  yenye kuleta unafuu wakati huo huo kila mmoja akijipatia kirushi apendacho kwa kadri anavyopenda

“Tunatambua kuwa tunao wateja wa aina mbalimbali na tuko tayari kuwahudumia kulingana na matakwa ya kila mteja hii ina maana kuwa Ofa hii itawezesha kila mmoja kupata kifurushi cha huduma aipendayo tofauti na ilivokuwa awali ambapo wateja walikuwa wanaingizwa kwenye vifurushi bila kuzingatia matakwa yao ambapo wengine walikuwa wanapata huduma ambazo hawazihitaji ama kuzitumia kabisa”.Alisema.
Ili kupata huduma ya ofa hii ya“Ya kwako tu” mteja anachotakiwa kufanya ni kupiga simu namba*149* 01#   ambapo katika orodha ya huduma kwenye menu ya simu zao kutatokea huduma ya “Ya kwako tu” ambayo itakuwa na orodha ya huduma anayohitaji kutumia.



0 comments:

Post a Comment