Katika kile kinachoonekana kama kukubalika zaidi kwa kazi za msanii,Diamond Platnumz,leo hii moja ya mchezaji mashuhuri wa Ureno na klabu ya Fc Porto Ricardo Quaresma amekutwa akicheza wimbo wa staa wetu wa KIDOGO.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Diamond amepost video inayomuonyesha staa huyo akiwa na mwanae katika bwawa la kuogelea huku wimbo huo ukiwaburudisha watu mbalimbali waliofika eneo la tukio akiwemo mcheza soka huyo.
When @RicardoquaresmaOficial Having a good time with your Song...Wazungu kwa #NASEMANAWE sijui wanapenda Mauno yale! pic.twitter.com/HsaKvNK0q8— Chibu Dangote (@diamondplatnumz) July 22, 2016

0 comments:
Post a Comment